Mtango

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mtango
Remove ads

Mtango (Cucumis sativus) ni mmea mtambaa wa familia Cucurbitaceae. Matunda yake, yaitwayo matango, hutumika sana katika saladi duniani kote.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...

Spishi mbili za pori huitwa mtango-mwitu (Cucumis aculeatus na C. dipsaceus). Lakini mtango-tamu (Solanum muricatum) hauna mnasaba na mtango, kwa sababu ni mwana wa familia Solanaceae.

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads