Tango

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tango
Remove ads

Tango ni tunda mojawapo lenye maji mengi (kama vile tikitimaji) ambalo linabeba virutubisho kama vile Vitamini B, C, K, Potassium na Manganese.

Thumb
Matunda ya Cucumis sativus.

Mmea wake, mtango, una jina la kisayansi Cucumis sativus na una asili ya India.

Makala hii kuhusu "Tango" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads