Mto Faro

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mto Faro
Remove ads

Mto Faro ni mto uliopo nchini Nigeria.[1]

Thumb
Ramani inayoonyesha bonde la mifereji ya maji ya Mto Benué. Mto wa Faro unaweza kuonekana kusini mwa hiyo.

Chanzo chake kinapatikana kwenye uwanda wa juu wa Adamawa(kwa kiingereza: Adamawa Plateau) ambao unapatikana kusini-mashariki mwa mji wa Ngaoudere. Ni mto wa pembeni wa mto Benue.

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads