Mto Imo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mto Imo
Remove ads

Mto Imo ni mto nchini Nigeria.

Thumb
Mto Imo

Chanzo chake kinapatikana Okigwe kwenye jimbo la Imo. Unaishia kwenye bahari ya Atlantiki. Mto huu unalisha eneo la kinamasi lenye ukubwa wa heka 26,000 na ujazo wa kilomita za ujazo 4 za maji ya mvua kwa mwaka.

Jamii zinazokaa pembezoni mwa mto zinaamini kuna mungu wa kike anayeitwa Imo Mmiri ndiye anayemiliki mto huo.[1]

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads