Mto Imo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Imo ni mto nchini Nigeria.
Chanzo chake kinapatikana Okigwe kwenye jimbo la Imo. Unaishia kwenye bahari ya Atlantiki. Mto huu unalisha eneo la kinamasi lenye ukubwa wa heka 26,000 na ujazo wa kilomita za ujazo 4 za maji ya mvua kwa mwaka.
Jamii zinazokaa pembezoni mwa mto zinaamini kuna mungu wa kike anayeitwa Imo Mmiri ndiye anayemiliki mto huo.[1]
Tazama pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads