Mto Ishasha

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mto Ishasha
Remove ads

Mto Ishasha unaanzia nchini Uganda (wilaya ya Kabale) na kuwa sehemu ya mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Thumb
Mito na maziwa ya Uganda.

Unachangia ziwa Edward ambalo kupitia mto Semliki linapeleka maji yake katika ziwa Albert na hatimaye katika mto Naili.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads