Mto Kalambo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads

Mto Kalambo ni mmojawapo kati ya mito ya Tanzania (upande wa kusini magharibi, mkoa wa Rukwa) na ya Zambia (upande wa kaskazini), ukiwa mpaka kati ya nchi hizo mbili kwa sehemu fulani.
Ni maarufu kwa maporomoko yake. Maji yake yanaishia bahari ya Atlantiki kupitia ziwa Tanganyika na mto Kongo.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads