Mto Laga Gada

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mto Laga Gada ni korongo linalopatikana katika kaunti ya Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya, mipakani kwa Ethiopia na Somalia.

Maji yake yanaishia katika mto Juba ambao unaingia katika Bahari ya Hindi nchini Somalia.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads