Mto Lagh Duko
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Lagh Duko ni korongo linalopatikana katika kaunti ya Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya, mipakani kwa Ethiopia na Somalia.
Maji yake yanaishia katika mto Juba ambao unaingia katika Bahari ya Hindi nchini Somalia.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads