Mto Lukosi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Lukosi ni mto wa Tanzania Kusini Magharibi ambao ni tawimto wa Ruaha Mkuu ambao unapitia Iringa na tambarare ya Kilombero hadi kuishia katika mto Rufiji ambao unamwaga maji mengi katika bahari Hindi.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads