Mto Lumpungu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mto Lumpungu ni mmojawapo kati ya mito ya Tanzania (upande wa magharibi), ukiwa tawimto wa mto Malagarasi, wa pili nchini kwa urefu (km 475)[1][2] ambao unatiririka hadi ziwa Tanganyika, ukiwa mto unaoliingizia maji mengi zaidi.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads