Mto Nairobi (Nyeri)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Nairobi (Nyeri) unapatikana katika kaunti ya Nyeri, katikati ya Kenya. Huanza juu ya Mlima Kenya na ni tawimto la mto Sagana.
Maji yake yanaishia katika mto Tana, ambao ndio mrefu kuliko yote nchini[1], na hatimaye katika Bahari Hindi.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads