Mto Nairobi (Nyeri)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mto Nairobi (Nyeri) unapatikana katika kaunti ya Nyeri, katikati ya Kenya. Huanza juu ya Mlima Kenya na ni tawimto la mto Sagana.

Maji yake yanaishia katika mto Tana, ambao ndio mrefu kuliko yote nchini[1], na hatimaye katika Bahari Hindi.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads