Mto Njombe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Njombe ni mto wa Tanzania unaoanzia katika mkoa wa Mbeya, unapitia mpakani mwa mkoa wa Singida na mkoa wa Iringa. Hatimaye huingia katika mto Kisigo, tawimto la Ruaha Mkuu, unaotiririka hadi kuingia mto Rufiji ambao unaishia katika Bahari Hindi.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads