Mto Njombe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mto Njombe ni mto wa Tanzania unaoanzia katika mkoa wa Mbeya, unapitia mpakani mwa mkoa wa Singida na mkoa wa Iringa. Hatimaye huingia katika mto Kisigo, tawimto la Ruaha Mkuu, unaotiririka hadi kuingia mto Rufiji ambao unaishia katika Bahari Hindi.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads