Mto Rima
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Rima ni mto unaopatikana kaskazini mwa nchi ya Nigeria[1]. Upande wa kaskazini zaidi, mto huo unaungana na mto Goulbi de Maradi. Mto huu unaelekea kusini magharibi na kuungana na mto Sokoto karibu kabisa na Sokoto, kisha unaelekea mpaka kusini kuingia mto Niger.

Tazama pia
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads