Mto Sao Francisco
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Sao Francisco (kwa Kireno: São Francisco; kabla ya kufika kwa Wareno wenyeji waliuita Opara) ni mto wa huko Brazil.


Urefu wake ni karibu kilomita 3,100. Matawimto makuu yake ni mito Paropeba, Abaeté, das Velhas, Jequitaí, Paracatu, Urucuia, Verde Grande, Carinhanha, Corrente, na Grande.
Ni mto mrefu kabisa unaopita ndani ya Brazil kuanzia chanzo hadi mdomo, ni mto mrefu wa nne katika Amerika Kusini, baada ya Amazonas, Mto Parana na Mto Madeira.
Jina lilichaguliwa na Amerigo Vespucci aliyekuwa Mzungu wa kwanza kuona mdomo wa mto alipopita huko kwenye 4 Oktoba 1501, sikukuu ya mtakatifu Fransisko wa Assisi katika Kanisa Katoliki.
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Brazil bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mto Sao Francisco kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads