Thika (mto)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Thika unapatikana katika kaunti ya Kiambu katikati ya Kenya.

Ni tawimto la mto Tana ambao ndio mrefu kuliko yote nchini na unaishia katika Bahari ya Hindi.
Mto Thika ni chanzo cha nishati ya maji, na pia hutoa maji kwa Nairobi, mji mkuu wa Kenya.
Jina la Thika halijulikani kama limetoka lugha ya Kikuyu ama lugha ya Kimaasai. Katika Kikuyu, guthika maana yake kuzika; na katika Kimaasai, jina linafanana na sika maana yake kusugua ukingoni.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads