Mto Weru Weru
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Weru Weru ni kati ya mito ya mkoa wa Kilimanjaro (Tanzania Kaskazini Mashariki) ambayo maji yake yanaishia katika Bahari Hindi, kwa kuwa ni tawimto la mto Kikuletwa ambao ni kati ya vyanzo viwili vikuu vya mto Pangani ambao maji yake yanaishia katika bahari ya Hindi (mkoa wa Tanga, kaskazini mashariki mwa nchi Tanzania).
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads