Mto Zamfara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mto Zamfara ni mto ulioko kaskazini mwa Nigeria. Kuna majina tofauti katika majimbo ambayo unapitia, baadhi ni baadhi ya majimbo hayo ni Gulbi Gindi, Gulbi Zamfara, Mto Zamfara na Mto Gindi.[1]

Unatokea katika Jimbo la Zamfara. Una urefu wa kilomita 250 katika Jimbo la Kebbi ambapo unaungana na Mto Sokoto umbali wa kilomita 50 kusini magharibi mwa Birnin Kebbi.
Mto wa Zamfara unaanza katika eneo ambalo ni mita 188 juu ya usawa wa bahari.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads