Mudathir Yahya
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mudathir Yahya Abbas (alizaliwa 6 Mei 1996) ni mchezaji wa kimataifa wa mpira wa miguu anayecheza nafasi ya kiungo kwenye klabu ya Young Africans S.C. inayoshiriki NBC Premier League na Timu ya Taifa ya Tanzania.
Mudathir ni mchezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania na Timu ya Taifa ya Zanzibar.[1] Aliiwakilisha Zanzibar kwenye mashindano ya CECAFA ya mwaka 2017,[2] ambapo Zanzibar walimaliza nafasi ya pili.[3]
Remove ads
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads