Mungu Mwana

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mungu Mwana
Remove ads

Mungu Mwana (kwa Kigiriki Θεός ὁ υἱός, Theos o uios) ni nafsi ya pili ya Utatu Mtakatifu wa Mungu pekee.

Thumb
Mungu akistarehe baada ya kuumba – Kristo amechorwa kama muumbaji wa ulimwengu katika mozaiki hii ndani ya kanisa kuu la Monreale, Sicily.

Dogma hiyo ya Ukristo (madhehebu yote isipokuwa Wasiosadiki Utatu) inamkiri Yesu kuwa Mungu sawa na Mungu Baba na Roho Mtakatifu.

Kanuni ya Imani ya Nisea-Konstantinopoli inamkiri Mungu Mwana "aliyezaliwa na Baba tangu milele yote", alikuwepo kabla ya kujifanya binadamu tumboni mwa Bikira Maria.[1] [2][3] [4]

Remove ads

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads