Mussa Ramadhani Sima

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mussa Ramadhani Sima (amezaliwa tar. 6 Julai 1976) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CCM. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Singida Mjini kwa mwaka 20152020. [1]Ameteuliwa mwaka 2018 kuwa Naibu Waziri katika serikali ya awamu ya Tano.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads