Mwaloni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mwaloni
Remove ads

Mialoni (kwa Kiingereza: oak) ni miti ya jenasi Quercus katika familia Fagaceae. Kuna spishi takriban 500 za miti hiyo, nyingi katika Amerika Kaskazini na saba katika Afrika ya Kaskazini.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Majani yake yana rangi ya kijani iliyokolea na hayapuputiki wakati wa kiangazi.

Remove ads

Spishi za Afrika

  • Quercus canariensis, Mwaloni wa Kanari
  • Quercus coccifera, Mwaloni majani-miiba
  • Quercus faginea, Mwaloni wa Ureno
  • Quercus ilex, Mwaloni majani-magumu
  • Quercus lusitanica, Mwaloni wa Hispania
  • Quercus pyrenaica, Mwaloni wa Pirenei
  • Quercus suber, Mwaloni-koki

Picha

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mwaloni kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads