Mwananyamala

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mwananyamala
Remove ads

Mwananyamala ni kata ya Wilaya ya Kinondoni katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikodi namba 14108.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Thumb
Sehemu ya Mwananyamala karibu na Barabara ya Kawawa, June 2019

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 38,645 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ina wakazi wapatao 44,531. waishio humo.[2]

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads