Nakshi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nakshi
Remove ads

Nakshi ni kitu chochote kinachotumika kuongeza mvuto wa uzuri wa kitu fulani.

Thumb
Roshani ya karne ya 18 ya mtindo wa Rococo, Bavaria, Ujerumani.
Thumb
Nakshi ya Kiarabu juu ya kifaa cha Kituruki.
Thumb
Sahani ya China yenye mchoro wa joka.
Thumb
Kitabu cha Wendel Dietterlin, 1598.
Thumb
Nakshi ya Kiislamu juu ya mlango madrasa wa Kairo, Misri.

Toka zamani za kale binadamu ameonyesha kipaji chake cha usanii kwa kutia nakshi vitu mbalimbali alivyotengeneza au alivyotumia.

Nakshi zilitumika kwa namna ya pekee upande wa dini, katika maabadi na katika vifaa vya ibada, kama vile mavazi.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads