Nanchang

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nanchang
Remove ads

Nanchang (kwa Kichina: 南昌) ni mji wa China. Ndio mji mkuu wa jimbo la Jiangxi.

Thumb
Mji wa Nanchang
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2006, kuna wakazi wapatao milioni 5 wanaoishi katika mji huu.

Makala hii kuhusu maeneo ya China bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nanchang kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads