Nanjing

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nanjing
Remove ads

Nanjing (kwa Kichina: 南京) ni mji wa China. Ndio mji mkuu katika jimbo la Jiangsu.

Thumb
Mji wa Nanjing
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, kuna wakazi wapatao milioni 7.6 wanaoishi katika mji huu.

Mji uko mita 15 juu ya usawa wa bahari.

Remove ads

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya China bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Nanjing kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads