Navassa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Navassa
Remove ads

Navassa ni kisiwa cha bahari ya Karibi karibu na Haiti ambacho kinadaiwa na nchi hiyo tangu mwaka 1801 kuwa ni chake lakini kinatawaliwa na Marekani tangu mwaka 1857.[1][2][3][4]

Thumb
Navassa kutoka angani.

Kisiwa kina eneo la kilometa mraba 5.4 lakini hakina wakazi wa kudumu.

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads