Nazareti

mji katika Israeli; inayokaliwa zaidi na raia Waislamu-Waarabu wa Israeli; kitovu cha hija ya Kikristo kama nyumba ya utoto ya Yesu From Wikipedia, the free encyclopedia

Nazareti
Remove ads

Nazareti (الناصرة kwa Kiarabu, נצרת kwa Kiebrania) ni mji wenye watu 77,445[1] upande wa kaskazini wa nchi ya Israeli, ambao kihistoria unajulikana kama Galilaya.

Thumb
Kisima cha Bikira Maria - Kisima cha karne ya 1 ni kielelezo cha mji wa Nazareti.

Wakazi wengi ni raia wa Israeli wanaoongea Kiarabu na kufuata dini za Uislamu (68,7%) na Ukristo (31,3%).

Nazareti unajulikana kama mji walipokulia Bikira Maria na mwanae Yesu Kristo, ambaye kadiri ya Injili, ingawa alizaliwa Bethlehemu, alikuwa anatajwa kama Mnazareti.

Remove ads

Marejeo

Loading content...

Viungo vya nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads