Neofito wa Nisea

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Neofito wa Nisea (Nisea, Bitinia, leo nchini Uturuki, 294 hivi - Nisea, 310) alikuwa kijana Mkristo ambaye, baada ya kuishi kama mkaapweke, alifia dini yake hiyo wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Januari[3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads