Neopuli

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Neopuli (alifariki Aleksandria, 304) ni kati ya Wakristo wa Misri waliouawa kwa ajili ya imani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian.

Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Mei[1] au 15 Agosti[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads