Nicholas Biwott

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nicholas Biwott
Remove ads

Nicholas Kipyator Kiprono arap Biwott (1940 - 11 Julai 2017) alikuwa mfanyabiashara, mwanasiasa, na mfadhili wa Kenya, ambaye alifanya kazi katika serikali ya baba wa uhuru wa Kenya, Jomo Kenyatta na Daniel arap Moi.[1]

Thumb
Biwott mwaka 1998 kama Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Kikanda

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads