Nikola Tesla

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nikola Tesla
Remove ads

Nikola Tesla (10 Julai 18567 Januari 1943; Kiserbokroatia: Никола Тесла) alikuwa mhandisi na mwanafizikia kutoka milki ya Austria-Hungaria aliyehamia baadaye Marekani.

Ukweli wa haraka
Thumb
Nyumba alikozaliwa Tesla

Tesla alizaliwa katika familia ya Kiserbia, alisoma uhandisi akajishughulisha hasa na umeme na sumakuumeme.

Mwaka 1884 alihamia Marekani alipoajiriwa na Thomas Edison lakini baadaye alitoka katika kampuni yake.

Kati ya mengi aliyobuni au aliyochangia kuna

  • redio
  • mkondo geu wa umeme
Remove ads

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads