Norodom Sihamoni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Norodom Sihamoni
Remove ads

Norodom Sihamoni (kwa Kikhmer: នរោត្តម សីហមុនី; amezaliwa 14 Mei 1953) ni Mfalme wa Kamboja[1]. Alipata kuwa Mfalme mnamo 14 Oktoba 2004, wiki moja baada ya kujiuzulu kwa baba yake, Norodom Sihanouk.

Thumb
Sihamoni (2019)

Yeye ndiye mtoto mkubwa wa Mfalme Sihanouk na Malkia Norodom Monineath. Alikuwa balozi wa Kamboj a kwa UNESCO. Aliteuliwa na baraza la kifalme kumfuata babake Norodom Sihanouk wakati huyu alipojiuzulu mnamo 2004.

Sihamoni alisoma shule na chuo cha dansi huko Chekoslovakia na alijulikana kwa kazi yake kama balozi wa kitamaduni huko Ulaya na kama mwalimu wa dansi. Yeye hajaoa.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads