Nsimbo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Nsimbo ni kata iliyo makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Nsimbo katika Mkoa wa Katavi, Tanzania, yenye postikodi namba 50116.
Halmashauri hiyo ina kata 12: Nsimbo, Mtapenda, Litapunga, Katumba, Kanoge, Uruwila, Machimboni, Sitalike, Kapalala, Ugalla, Ibindi na Itenka
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 8,876 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 7,104 waishio humo.[2]
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads