Jiografia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jiografia ni somo la Dunia na vipengele vyake, wakazi wake, na maajabu yake.[1]

Neno la Kiswahili jiografia linafuata matamshi ya Kiingereza ya neno la Kigiriki "γεωγραφία", geo-grafia kutoka gê "dunia" na graphein "kuandika". Lina maana ya "kuandika kuhusu Dunia". Neno hili lilianza kutumiwa kwa mara ya kwanza na mwanasayansi Eratosthenes (276-194 KK).
Sehemu za jiografia ni vitu kama mabara, bahari, mito na milima. Wakazi wake ni watu wote na wanyama waishio juu yake. Maajabu yake ni vitu vinavyotokea kama vile maji kujaa na kupwa, upepo, na tetemeko la ardhi.
Remove ads
Nchi za Afrika
Afrika ya Mashariki
Afrika ya Kati
Afrika ya Kaskazini
Afrika ya Kusini
Afrika ya Magharibi
Remove ads
Nchi za Amerika ya Kaskazini
Nchi za Amerika ya Kati
Nchi za barani
*(Meksiko mara nyingi huhesabiwa katika Amerika ya Kati kwa sababu za kiutamaduni)
Nchi za visiwa vya Karibi
Nchi za Amerika ya Kusini
Nchi za Asia
Asia ya Kati
Asia ya Kaskazini
Asia ya Mashariki
- Uchina (pamoja na Taiwan)
- Japani
- Korea Kaskazini
- Korea Kusini
Asia ya Kusini-Mashariki
Asia ya Kusini
Asia ya Magharibi
- Armenia
- Azerbaijan
- Georgia
- Irak
- Israeli
- Yordani
- Libanon
- Palestina
- Shamu (au: Syria)
- Uajemi (au Iran au Persia)
- Uturuki
Bara Arabu
Remove ads
Nchi za Ulaya
Nchi za Oceania
mfumo wa Jua
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads