Jiografia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jiografia
Remove ads

Jiografia ni somo la Dunia na vipengele vyake, wakazi wake, na maajabu yake.[1]

Thumb
Ramani ya dunia.

Neno la Kiswahili jiografia linafuata matamshi ya Kiingereza ya neno la Kigiriki "γεωγραφία", geo-grafia kutoka "dunia" na graphein "kuandika". Lina maana ya "kuandika kuhusu Dunia". Neno hili lilianza kutumiwa kwa mara ya kwanza na mwanasayansi Eratosthenes (276-194 KK).

Sehemu za jiografia ni vitu kama mabara, bahari, mito na milima. Wakazi wake ni watu wote na wanyama waishio juu yake. Maajabu yake ni vitu vinavyotokea kama vile maji kujaa na kupwa, upepo, na tetemeko la ardhi.

Remove ads

Nchi za Afrika

Afrika ya Mashariki

Afrika ya Kati

Afrika ya Kaskazini

Afrika ya Kusini

Afrika ya Magharibi

Remove ads

Nchi za Amerika ya Kaskazini

Nchi za Amerika ya Kati

Nchi za barani

*(Meksiko mara nyingi huhesabiwa katika Amerika ya Kati kwa sababu za kiutamaduni)

Nchi za visiwa vya Karibi

Nchi za Amerika ya Kusini

Nchi za Asia

Asia ya Kati

Asia ya Kaskazini

Asia ya Mashariki

Asia ya Kusini-Mashariki

Asia ya Kusini

Asia ya Magharibi

Bara Arabu

Remove ads

Nchi za Ulaya

Nchi za Oceania

mfumo wa Jua

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads