Nyashimo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Nyashimo ni kata ya Wilaya ya Busega katika Mkoa wa Simiyu, Tanzania, pia ni makao makuu ya wilaya hiyo.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 15,140 [1].

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads