Mto Oder

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mto Oder
Remove ads

Mto Oder (kwa Kicheki na Kipoland: Odra) ni mto wa Ulaya ya Kati.

Ukweli wa haraka
Thumb
Beseni ya mto Oder - Odra

Chanzo chake kipo katika Jamhuri ya Kicheki, inapita katika Silesia (Polandi) hadi kuwa mpaka baina ya Ujerumani na Polandi. Kilomita chache kabla ya kuishia katika Bahari Baltiki unaingia tena ndani ya Polandi ukipita mjini Stettin - Szczecin hadi kufika baharini.

Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Oder kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads