Oengus

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Oengus (labda alifariki 11 Machi 824) alikuwa mkaapweke wa Ireland, halafu askofu na mwandishi aliyejitahidi kurekebisha Kanisa la nchi hiyo[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Machi[3].

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Marejeo mengine

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads