Offenbach am Main

From Wikipedia, the free encyclopedia

Offenbach am Main
Remove ads

Offenbach am Main au Offenbach ni mji wa Hesse nchini Ujerumani. Iko kando ya mto Main. Idadi ya wakazi wake ni takriban 118,770. Mji ulianzishwa 977. Umbali na Jiji la Frankfurt am Main ni 3 km.

Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Thumb
Offenbach
Remove ads

Tazama pia

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Offenbach am Main kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads