Offenbach am Main

From Wikipedia, the free encyclopedia

Offenbach am Main
Remove ads

Offenbach am Main au Offenbach ni mji wa Hesse nchini Ujerumani. Iko kando ya mto Main. Idadi ya wakazi wake ni takriban 118,770. Mji ulianzishwa 977. Umbali na Jiji la Frankfurt am Main ni 3 km.

Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Thumb
Offenbach
Remove ads

Trafiki

Thumb
Kituo cha treni za mkoani Rhine / Main Offenbach Ost

Kuna huduma za mistari wa S1, S2, S8 na S9 ya Treni za mkoani Rhine / Main, pia kituo kikuu cha reli Offenbach (Offenbach Hauptbahnhof) kuna huduma za treni za eneo, zamani Treni za barabarani Frankfurt / Main zinasafirishwa huko Offenbach pia, lakini tuneli ya treni za mkoani imetengenezwa tayari huduma imeacha, leo mstari 16 ya treni za barabarani inaachwa kituo cha "Offenbach Stadtgrenze" kwenye mpaka na Frankfurt na Offenbach.

Kuna huduma za treni za masafa marefu huko kituo cha Frankfurt kusini na Kituo kikuu cha reli Frankfurt. Huduma za mabasi la masafa marefu ipo Kituo cha mabasi la masafa marefu Frankfurt / Main.

Remove ads

Tazama pia

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya Ujerumani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Offenbach am Main kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads