Oran

From Wikipedia, the free encyclopedia

Oran
Remove ads

Oran (kwa Kiarabu: وَهران, Wahrān) ni mji muhimu wa pwani kaskazini-magharibi mwa Algeria.

Thumb
Oran

Ndio wa pili nchini baada ya mji mkuu Algiers kwa biashara, viwanda na elimu.

Wakazi walihesabiwa kuwa 759,645 mwaka 2008,[1] lakini jiji lote linakadiriwa kuwa na watu 1,500,000[2][3].

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads