Origen

From Wikipedia, the free encyclopedia

Origen
Remove ads

Origen, kwa Kigiriki Ὠριγένης Ōrigénēs, (185 - 253), mwana wa mfiadini Leonidas wa Aleksandria, alikuwa padri kutoka Aleksandria (Misri) aliyehamia Kaisarea (Palestina) na kuendeleza kazi yake kama mtaalamu maarufu wa Biblia.[1][2][3][4][5].

Thumb
Origen.

Sala yake

Yesu, miguu yangu ni michafu. Njoo kama mtumwa kwangu, mimina maji katika beseni lako, njoo unitawadhe miguu. Ninapoomba hivyo najua kuwa nathubutu mno, lakini naogopa tishio lililotolewa uliponiambia, “Nisipokutawadha miguu, huna ushirika nami”. Basi, osha miguu yangu, kwa kuwa naonea shauku urafiki wako.

Tazama pia

Vyanzo

  • Bostock, Gerald (2003). "Origen: the Alternative to Augustine?". The Expository Times. 114 (10): 327. doi:10.1177/001452460311401001.
  • Heine, Ronald E. (2010). Origen: Scholarship in the service of the Church. Oxford: OUP. uk. 275. ISBN 978-0-19-920908-8.
  • Trigg, Joseph Wilson (1985). Origen: the Bible and philosophy in the third-century church. London: SCM Press. ISBN 0-334-02234-7.
  • Trigg, Joseph Wilson (1998). Origen. New York: Routledge. ISBN 0-415-11836-0.
  • Crouzel, Henri (1989). Origen. San Francisco: Harper & Row. ISBN 0-06-061632-6.

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads