Otimus

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Otimus alikuwa padri[1] wa Misri katika karne ya 3 aliyeuawa kwa imani yake ya Kikristo wakati wa dhuluma ya Kaisari Diokletian[2].

Kanisa la Kikopti linamheshimu kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Septemba.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads