Papa Honorius III

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Honorius III
Remove ads

Papa Honorius III (114818 Machi 1227) alikuwa Papa kuanzia tarehe 18/24 Julai 1216 hadi kifo chake[1]. Alitokea Roma, Italia[2].

Thumb
Papa Honori III.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Cencio Savelli.

Alimfuata Papa Inosenti III akafuatwa na Papa Gregori IX.

Ndiye aliyethibitisha Kanuni ya Ndugu Wadogo iliyotungwa na Fransisko wa Asizi kwa ajili ya shirika lake (29 Novemba 1223).

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads