Papa Innocent VIII

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Innocent VIII
Remove ads

Papa Innocent VIII (kwa Kilatini: Innocentius VIII; kwa Kiitalia: Innocenzo VIII; 143225 Julai 1492) alikuwa Papa na mtawala wa Dola la Papa kuanzia tarehe 29 Agosti/12 Septemba 1484 hadi kifo chake[1]. Alitokea Genova, Italia[2].

Thumb
Papa Inosenti VIII.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Giovanni Battista Cybo (au Cibo).

Alimfuata Papa Sixtus IV akafuatwa na Papa Aleksanda VI.

Akiwa mwana wa naibu mfalme wa Napoli, Cybo alitumia miaka yake ya awali katika mahakama ya kifalme ya Napoli. [3]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads