Kidiri (mnyama)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kidiri (mnyama)
Remove ads

Kidiri ni wanyama wadogo wa jenasi Paraxerus katika kabila Protoxerini la familia Sciuridae ambao wanafanana sana na kindi. Tofauti na hawa, ambao hukaa mitini takriban saa zote, kidiri hupitisha muda mrefu ardhini lakini hulala katika tundu mtini. Wanatokea misitu mikavu na minyevu ya Afrika. Hula mbegu, makokwa, matunda, matumba, machipukizi na wadudu.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads