Paulo Wu Juan

From Wikipedia, the free encyclopedia

Paulo Wu Juan
Remove ads

Paulo Wu Juan (Xihetou, 1838 hivi - Xiaoluyi, 29 Juni 1900) alikuwa mlei wa China aliyefia Ukristo wakati wa Uasi wa Mabondia[1].

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, lakini ya kwake mwenyewe tarehe ya kifodini chake[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads