Petro Poveda

From Wikipedia, the free encyclopedia

Petro Poveda
Remove ads

Petro Poveda Castroverde (Linares, Jaen, 3 Desemba 1874 - Madrid 28 Julai 1936) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Hispania na mwanzilishi wa Chama cha Kiteresa kwa ajili ya malezi ya Kikristo ya vijana[1].

Thumb
Picha yake halisi.

Hatimaye aliuawa na waasi wa dini mwanzoni mwa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Hispania, akimtolea Mungu ushahidi mwangavu [2][3].

Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 10 Oktoba 1993, halafu mtakatifu tarehe 4 Mei 2003.

Sikukuu yake inaadhimishwa katika tarehe ya kifo chake[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads