Petro wa Argo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Petro wa Argo
Remove ads

Petro wa Argo (pia: Petro mtendamiujiza; kwa Kigiriki: Άγιος Πέτρος ο Θαυματουργός[1] ; Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, karne ya 9 - Argos, Ugiriki, 922 hivi) alikuwa mzaliwa wa familia tajiri yenye maadili bora, halafu mmonaki na hatimaye askofu wa Argos na Nauplion.

Thumb
Mt. Petro alivyochorwa.

Kwa upendo mkubwa alijitahidi kusaidia fukara na kukomboa watumwa, mbali ya kujenga umoja kati ya Wakristo [2]

Maandishi yake yanapatikana katika mkusanyo wa Patrologia Graeca[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[4].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Mei[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads