Pisa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pisa
Remove ads

Pisa ni mji maarufu wa mkoa wa Toscana, Italia wenye wakazi 88,880 (31-12-2018).

Thumb
Piazza dei Miracoli, yaani Uwanda wa Miujiza, kivutio kikubwa cha utalii. Kanisa kuu linazungukwa na batizio na mnara ulioinama.
Thumb
ramani ya mji wa Pisa

Sehemu ya mji imo katika orodha ya urithi wa dunia wa UNESCO.

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads