Toscana

From Wikipedia, the free encyclopedia

Toscana
Remove ads

Toscana (ing. Tuscany) ni mmoja kati ya mikoa 20 ya Italia.

Thumb
Sehemu ya mkoa wa Toscana
Thumb
Bendera ya Toscana.
Thumb
Mkoa wa Toscana katika Italia.
Thumb
Wilaya za Toscana.

Iko katikati ya rasi ya Italia, kaskazini kwa Roma.

Imepakana na mikoa ya Emilia-Romagna, Liguria, Umbria, Marche na Lazio, mbali ya bahari ya Kati.

Eneo lake ni la km² 20,990.

Jumla ya wakazi ilikuwa 3,516,000 mwaka 2004.

Mji mkuu ni Firenze.

Toscana huitwa mkoa mzuri wa Italia kwa sababu ya hali ya hewa, uzuri wa mabonde na milima na urithi wake wa utamaduni na sanaa.

Remove ads

Jiografia

Sehemu kubwa ni eneo la vilima-vilima.

Kuna tambarare katika bonde la mto Arno.

Wilaya

Tazama pia

Viungo vya nje


Maelezo zaidi Mikoa ya Italia ...
Makala hii kuhusu maeneo ya Italia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Toscana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads