Plotinus

From Wikipedia, the free encyclopedia

Plotinus

Plotinus (kutoka Kigiriki Πλωτῖνος, Plootinos; Lycopolis, Misri 204/5 hivi – Campania, Italia, 270 BK) alikuwa mmojawapo kati ya wanafalsafa muhimu zaidi wa Ugiriki wa Kale.

Thumb
Plotinus.

Kama mwalimu wake, Ammonius Saccas, alifuata mapokeo ya Plato.[1] Kwa sababu hiyo, wanahistoria wa karne ya 19 walitunga jina Uplato Mpya[1] kwa falsafa yake iliathiri sana karne za mwisho za Roma ya Kale upande wa Wapagani na wa Wakristo vilevile, halafu Gnosi, falsafa ya Kiislamu n.k.

Mafundisho

Katifa falsafa yake mambo makuu ni matatu: Umoja, Akili na Roho.[2]

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.